Sunday, March 10, 2013

ZIMA UKIMYA NA JESSICA HONORE


Kongamano la Zima Ukimya na Jessica Honore. Hili ni kongamano litakalofanyika ndani ya CITY CHRISTIAN CENTER, Dar es Salaam, Tanzania. Mambo yatakayofanyika katika kongamano la Zima Ukimya na Jesca Honore ni Live Album Sumling, Ministry (The Jessica Music) Preview, Praise and Worship Moment, Uchangishaji fedha kwa ajili ya kununua vifaa vya muziki na mambo mengine  mengi.

Waimbaji waalikwa watakao pamba na kuhudumia kongamano hili ni Miliam Lukindo Wa Mauki pamoja na Upendo Kilahiro, Vocapela, Holy Bass Getor, Doxsaz, Glorious Celebration, R.T.M Bank na wengine wengi




Kwa kiasi kidogo cha fedha ambacho ni shilingi 15,000/= za kitanzania unaweza kuhudhuria kongamano la la Zima Ukimya na Jesca Honore na kupata nafasi ya kushiriki kusongesha mbele kazi ya Bwana na kukutana na wasanii na watu wengine mbalimbali watakao hudhuria kongamano hilo.

Tiketi za tamsha hilo zinapatikana Praise Power Radio na katika kanisa la Word Alive Centre Sinza Mori au unaweza kupiga simu namba hizi 0718 807278 na 0712 332007

Unakaribishwa sana!

No comments:

Post a Comment