Thursday, March 14, 2013

UZINDUZI WA ALBAM IITWAYO MALIPO TOKA KWA MCH JOSHUA MAKONDEKO

Tarehe 24/3/2013 Jumapili. Waimbaji Sifa John, Masanja Mkandamizaji, Mama Mchungaji Josephin Mwasulama, Joseph Nyuki, Enock Johnasy watakupa nyimbo nyingi zenye kuleta uwepo wa Bwana.

Hii albam iitwayo MALIPO ni albam inayofuata ile ya ZA MWIZI AROBAINI utafanyika pale CITY HARVEST siku ya Jumapili Tarehe 24 March, 2013

No comments:

Post a Comment