Hall Johnson kutoka nchini Marekani akishirikiana na mwenyeji wake Apostle John Komanya pamoja Mwinjilist John Shabani watahubiri injili na kufanya maombi ya uponyaji kwa wenye shida mbalimbali jijini Dar es salaam.
Wewe mkazi wa Dar es Salaam na mahali pengine popote Tanzania na duniani unakaribishwa.
Njoo uombewe
ReplyDelete