![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjTbsrtSZQTQNDTu5xsUWV3tZ4CAgRbKhYI_53mpitMAjf3OeXGhSs5zcJIQ77ZivjUYta_BP7U3g2vpwBo8Jj6GFikBHLXQbeQ_7WieufsonCQYLrlbJeLoQe6BpU5u2s8aLsT67shfcOk/s1600/ad1.jpg)
Hili ni Tamasha ambalo limeandaliwa kutambua mchango wa wakongwe wa muziki wa injili Tanzania katika kuinua na kuendeleza muziki wa injili nchini. Baadhi ya wakongwe watakao tumbuiza siku hiyo ni:
Nunu na mumewe Donisi
Nkone ambao ni waimbaji wakongwe wa muziki wa injili waishio na kuhudumu
nchini Marekani
Upendo Kilahiro ambaye pia ni mkongwe wa muziki wa injili na kipenzi
cha watu atashambulia katika jukwaa la Tamasha la wakongwe wa muziki injili
Joge Jabili yule muimbaji bonge wa lulu kwaya ataongoza safu nzima
ya mashambulizi ya kwa kwaya ya Lulu Mtoni Kwaya ambayo ni moja ya kwaya kongwe
kabilsa nchini Tanzania
iliyowahi kutamba na wimbo wao wa Lulu. Kumbuka OOOOO Lulu, OOOOO lulu, OOOOO
lulu iko mbinguni!!! Wimbo wa Lulu utapigwa live siku hiyo,
Wakitokea nchini Marekani ambapo
wamekaa miezi mingi New Life Band chini ya kiongozi wao HONDO ambaye ni muimbaji na mpiga gitaa la bass katika band hiyo,
wataimba live katika Tamasha la wakonwe wa muziki wa injili Tanzania
Pastor Safari ambaye ni mmoja wa waanzilishi wa matamasha ya muziki
wa injili Tanzania
kutoka DPC Kinondoni pia atashiriki katika Tamasha hili.
Mtaalamu na mtuzi bora wa muziki
wa injili Tanzania
John Shaban pia atashiriki katika
Tamasha hili.
No comments:
Post a Comment