Hall Johnson kutoka nchini Marekani akishirikiana na mwenyeji wake Apostle John Komanya pamoja Mwinjilist John Shabani watahubiri injili na kufanya maombi ya uponyaji kwa wenye shida mbalimbali jijini Dar es salaam.
Wewe mkazi wa Dar es Salaam na mahali pengine popote Tanzania na duniani unakaribishwa.
Saturday, March 16, 2013
Friday, March 15, 2013
GOSPEL CELEBRATION CONCERT
Kutakuwa na Tamasha Kubwa la
Kusifu na Kuabudu yaani GOSPEL CELEBRATION CONCERT lililo andaliwa na
wanafunzi wa Chuo cha Ualimu cha St.Mary`s (ST.MARY`S TEACHER`S COLLEGE) kilichopo Tabata,wakishirikiana na vijana wa kanisa la Dar Calvary Temple (DCT), Jumapili
hii ya Tarehe 17/03/2013.
Tamasha hili litaanza saa 11 jioni na kumalizika saa 4 usiku. Hakuna kiiingilio yaani bureee kabisa.
Gospel Celebration Concert litapabwa na Waimbaji wafuatao
KUMBUKA HAKUNA KIINGILIOOOOOOO.
Tamasha hili litaanza saa 11 jioni na kumalizika saa 4 usiku. Hakuna kiiingilio yaani bureee kabisa.
Gospel Celebration Concert litapabwa na Waimbaji wafuatao
- DCT Worship Team
- The Born Winners
- Method Ndandila Ndandila
- Rungu LA Yesu
- Sir Mbezi Junior
- Peter Banzi
- Peter Sombasomba
- Brian Mwimba
- Preacher Gazuko
- Elandre Emmanuel Andrewz na wengine wengi
KUMBUKA HAKUNA KIINGILIOOOOOOO.
Thursday, March 14, 2013
UZINDUZI WA ALBAM IITWAYO MALIPO TOKA KWA MCH JOSHUA MAKONDEKO
Tarehe 24/3/2013 Jumapili. Waimbaji Sifa John, Masanja Mkandamizaji, Mama Mchungaji Josephin Mwasulama, Joseph Nyuki, Enock Johnasy
watakupa nyimbo nyingi zenye kuleta uwepo wa Bwana.
Hii albam iitwayo MALIPO ni albam inayofuata ile ya ZA MWIZI AROBAINI utafanyika pale CITY HARVEST siku ya Jumapili Tarehe 24 March, 2013
Hii albam iitwayo MALIPO ni albam inayofuata ile ya ZA MWIZI AROBAINI utafanyika pale CITY HARVEST siku ya Jumapili Tarehe 24 March, 2013
Sunday, March 10, 2013
ZIMA UKIMYA NA JESSICA HONORE
Waimbaji waalikwa watakao pamba na
kuhudumia kongamano hili ni Miliam Lukindo Wa Mauki pamoja na Upendo Kilahiro,
Vocapela, Holy Bass Getor, Doxsaz, Glorious Celebration, R.T.M Bank na wengine
wengi
Kwa kiasi kidogo cha fedha ambacho ni shilingi 15,000/= za kitanzania unaweza kuhudhuria kongamano la la Zima Ukimya na Jesca Honore na kupata nafasi ya kushiriki kusongesha mbele kazi ya Bwana na kukutana na wasanii na watu wengine mbalimbali watakao hudhuria kongamano hilo.
Tiketi za tamsha hilo
zinapatikana Praise Power Radio na katika kanisa la Word Alive Centre Sinza
Mori au unaweza kupiga simu namba hizi 0718 807278 na 0712 332007
Unakaribishwa sana!
Unakaribishwa sana!
Saturday, March 9, 2013
TAMASHA LA KIHISTORIA LILOWAKUSANYA WAIMBAJI WAKONGWE WA ZAMANI NI TAREHE 17/3/2013 KATIKA UKUMBI WA DIAMOND JUBILEE
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjTbsrtSZQTQNDTu5xsUWV3tZ4CAgRbKhYI_53mpitMAjf3OeXGhSs5zcJIQ77ZivjUYta_BP7U3g2vpwBo8Jj6GFikBHLXQbeQ_7WieufsonCQYLrlbJeLoQe6BpU5u2s8aLsT67shfcOk/s1600/ad1.jpg)
Hili ni Tamasha ambalo limeandaliwa kutambua mchango wa wakongwe wa muziki wa injili Tanzania katika kuinua na kuendeleza muziki wa injili nchini. Baadhi ya wakongwe watakao tumbuiza siku hiyo ni:
Nunu na mumewe Donisi
Nkone ambao ni waimbaji wakongwe wa muziki wa injili waishio na kuhudumu
nchini Marekani
Upendo Kilahiro ambaye pia ni mkongwe wa muziki wa injili na kipenzi
cha watu atashambulia katika jukwaa la Tamasha la wakongwe wa muziki injili
Joge Jabili yule muimbaji bonge wa lulu kwaya ataongoza safu nzima
ya mashambulizi ya kwa kwaya ya Lulu Mtoni Kwaya ambayo ni moja ya kwaya kongwe
kabilsa nchini Tanzania
iliyowahi kutamba na wimbo wao wa Lulu. Kumbuka OOOOO Lulu, OOOOO lulu, OOOOO
lulu iko mbinguni!!! Wimbo wa Lulu utapigwa live siku hiyo,
Wakitokea nchini Marekani ambapo
wamekaa miezi mingi New Life Band chini ya kiongozi wao HONDO ambaye ni muimbaji na mpiga gitaa la bass katika band hiyo,
wataimba live katika Tamasha la wakonwe wa muziki wa injili Tanzania
Pastor Safari ambaye ni mmoja wa waanzilishi wa matamasha ya muziki
wa injili Tanzania
kutoka DPC Kinondoni pia atashiriki katika Tamasha hili.
Mtaalamu na mtuzi bora wa muziki
wa injili Tanzania
John Shaban pia atashiriki katika
Tamasha hili.
Subscribe to:
Posts (Atom)