SAUTI ZA INJILI
Saturday, July 27, 2013
Thursday, April 18, 2013
Saturday, March 16, 2013
UPONYAJI NA UKOMBOZI KILUVYA - GOGONI
Hall Johnson kutoka nchini Marekani akishirikiana na mwenyeji wake Apostle John Komanya pamoja Mwinjilist John Shabani watahubiri injili na kufanya maombi ya uponyaji kwa wenye shida mbalimbali jijini Dar es salaam.
Wewe mkazi wa Dar es Salaam na mahali pengine popote Tanzania na duniani unakaribishwa.
Wewe mkazi wa Dar es Salaam na mahali pengine popote Tanzania na duniani unakaribishwa.
Friday, March 15, 2013
GOSPEL CELEBRATION CONCERT
Kutakuwa na Tamasha Kubwa la
Kusifu na Kuabudu yaani GOSPEL CELEBRATION CONCERT lililo andaliwa na
wanafunzi wa Chuo cha Ualimu cha St.Mary`s (ST.MARY`S TEACHER`S COLLEGE) kilichopo Tabata,wakishirikiana na vijana wa kanisa la Dar Calvary Temple (DCT), Jumapili
hii ya Tarehe 17/03/2013.
Tamasha hili litaanza saa 11 jioni na kumalizika saa 4 usiku. Hakuna kiiingilio yaani bureee kabisa.
Gospel Celebration Concert litapabwa na Waimbaji wafuatao
KUMBUKA HAKUNA KIINGILIOOOOOOO.
Tamasha hili litaanza saa 11 jioni na kumalizika saa 4 usiku. Hakuna kiiingilio yaani bureee kabisa.
Gospel Celebration Concert litapabwa na Waimbaji wafuatao
- DCT Worship Team
- The Born Winners
- Method Ndandila Ndandila
- Rungu LA Yesu
- Sir Mbezi Junior
- Peter Banzi
- Peter Sombasomba
- Brian Mwimba
- Preacher Gazuko
- Elandre Emmanuel Andrewz na wengine wengi
KUMBUKA HAKUNA KIINGILIOOOOOOO.
Thursday, March 14, 2013
UZINDUZI WA ALBAM IITWAYO MALIPO TOKA KWA MCH JOSHUA MAKONDEKO
Tarehe 24/3/2013 Jumapili. Waimbaji Sifa John, Masanja Mkandamizaji, Mama Mchungaji Josephin Mwasulama, Joseph Nyuki, Enock Johnasy
watakupa nyimbo nyingi zenye kuleta uwepo wa Bwana.
Hii albam iitwayo MALIPO ni albam inayofuata ile ya ZA MWIZI AROBAINI utafanyika pale CITY HARVEST siku ya Jumapili Tarehe 24 March, 2013
Hii albam iitwayo MALIPO ni albam inayofuata ile ya ZA MWIZI AROBAINI utafanyika pale CITY HARVEST siku ya Jumapili Tarehe 24 March, 2013
Sunday, March 10, 2013
ZIMA UKIMYA NA JESSICA HONORE
Waimbaji waalikwa watakao pamba na
kuhudumia kongamano hili ni Miliam Lukindo Wa Mauki pamoja na Upendo Kilahiro,
Vocapela, Holy Bass Getor, Doxsaz, Glorious Celebration, R.T.M Bank na wengine
wengi
Kwa kiasi kidogo cha fedha ambacho ni shilingi 15,000/= za kitanzania unaweza kuhudhuria kongamano la la Zima Ukimya na Jesca Honore na kupata nafasi ya kushiriki kusongesha mbele kazi ya Bwana na kukutana na wasanii na watu wengine mbalimbali watakao hudhuria kongamano hilo.
Tiketi za tamsha hilo
zinapatikana Praise Power Radio na katika kanisa la Word Alive Centre Sinza
Mori au unaweza kupiga simu namba hizi 0718 807278 na 0712 332007
Unakaribishwa sana!
Unakaribishwa sana!
Subscribe to:
Posts (Atom)